Bw. Mnyeti ametengua nafasi hizo na kumkabidhi Kaimu Katibu Tawala Mkoa, Arnold Msuya, orodha ya majina ya watumishi hao wakiwemo baadhi ya watendaji wa Vijiji na Kata, na kusema hatua ya watumishi hao kujihusisha na siasa imekwamisha shughuli za maendeleo.
Mkuu huyo wa Mkoa ametangaza uamuzi huo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

