
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amelazimika kuingilia kati suala hilo na kufanya mkutano na wadau katika kuhakikisha kuwa hali ya usafiri inarejea kawaida.
Aidha mkuu huyo wa mkoa amezungumzia pia adha zilizowapata wananchi wananchi wa Moshi na Arusha na hatua ambazo uongozi wa mkoa umechukua ili kumaliza mgomo huo: