Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambosasa afunguka maiti kuokotwa baharini

Tuesday , 26th Sep , 2017

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es salaam, Lazaro Mambosasa amesema jeshi la polisi kwa kushirikiana na askari wa majini wanaendelea na uchunguzi dhidi ya matukio ya mauaji yanayoendelea kutokea katika baadhi ya maeneno na kisha miili kutupwa kwen

Kamanda Mambosasa ametoa taarifa hiyo leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, na kusema kwamba matukio hayo yanaonekana kudhamiriwa na watu wanaofanya hivyo kwani miili yote inakutwa imefungwa kamba.

"Jeshi la polisi tunaendelea na ufuatiiaji tukishirikiana na askari wa majini kwa sababu matukio haya yanatokea huko, kama kanda tunaendelea tena kwa uchunguzi wa hali ya juu, na hawa wauaji wanakuwa wanadhamiria kabisa kufanya hivyo. Ni vifo vya mashaka kwa kweli na yote inakutwa imefungwa hii inamaanisha huyo mtu anadhamiria", amesema Kamanda Mambosasa.

Kamanda Mambosasa ameendelea kwa kuzungumzia miili mingine ambayo iliokotwa katika fukwe za pwani ya Msasani, na kusema kwamba miili ile haikujulikana ni kina nani na hakukuwa na mtu alikwenda kuripoti kupotelewa na ndugu yake, hivyo waliikabidhi Manispaa kuizika.

Hivi karibuni kumekuwa na matukio mfululizo ya watu kuuawa na kutupwa baharini, na kisha miili yao kuokotwa ikiwa imefungwa kwenye viroba, ambapo jana miili mitatu imeokotwa huku mwili mmoja ukiwa umefungwa jiwe shingoni.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine