.jpg?itok=a_A_EAMj×tamp=1473662106)
Wakili anayewatetea wanafunzi hao, Wakili Msomi Emanuel Augustino Muga amewaambia waandishi wa habari kuwa, Jaji Elieza Felesh amekubali ombi la wanafunzi hao na hatua inayofuata nikuanza kusikilizwa kwa kesi ya msingi ya fidia kwa wanafunzi hao.
Naye jaji anaye sikiliza kesi hiyo jaji Elieza Felesh amezitaka pande zote mbili kuto chukulia shauri hilo kwa mlengo wa kisiasa na kuiachia mahakama kuamua hatua za kisheria kuchukua mkondo wake.