Mkutano huo ambao ulihusisha viongozi wa mchi zote za Jumuiya ya Afrika Mshariki, ulikuwa ni wa siku 2, ambapo pia alipata fursa ya kufanya mazungumzo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Aliporejea akiwa kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza amepokelewa na mkuu wa mkoa huo John Mongela, na kujadili schangamoto mbali mbali zinazoukabili uwanja huo ikiwemo ujenzi wa jengo la abiria, ambalo ameahidi kulifanyia kazi.
Soma hapa taarifa yote





