Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madaktari 209 kutupwa TAMISEMI

Thursday , 20th Apr , 2017

Serikali imeagiza Madaktari 209 kati ya Madaktari 258, watakaoajiriwa na Serikali kwa agizo la Rais Dk. John Pombe Magufuli, wapelekwe Ofisi ya Rais Tamisemi ili kwenda kuongeza nguvu kazi na kukabili uhaba wa madaktari maeneo ya vijijini.

Waziri Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, ametoa agizo hilo leo Jijini Dar es Salaam kwenye mkutano na wataalamu na madaktari bingwa wa masuala ya wanawake na uzazi kutoka ndani na nje ya nchi ambapo amesema maeneo ya vijijini bado yana changamoto kubwa sana ya kukosa madaktari bingwa hasa wa masuala ya kina mama wajawazito.

Amesema, moja ya changamoto ni 64% tu ya wanawake ndio wanajifungulia eneo lenye mhudumu wa afya na kwamba, tayari maelekezo yametolewa kwa Wakurugenzi wa halmashauri nchini kuhakikisha wanaboresha mazingira ya wajawazito.

Kwa upande wake Rais wa AGOTA Andrea Pembe amesema katika takwimu walizonazo kwa sasa kila watoto laki moja wanaozaliwa hai wanafariki kutokana na swala la uzazi usio na mpango na kuwataka kina mama kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa afya kuhusu huduma muhimu na kuiomba serikali iboreshe huduma za afya ya uzazi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine