Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigwangala awapa za uso vijana

Sunday , 13th Aug , 2017

Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Khamis Kigwangala, ameweka wazi sababu ya vijana wengi kufeli kwenye maisha na kusema kuwa wanapenda kuishi maisha yasiyo na uhalisia.

Kwenye ukurasa wake wa twitter ambapo alikuwa akijibizana na baadhi ya watanzania wanaotumia mtandao huo kuhusu tabia ya vijana kutopenda kujishughulisha na kuchagua kazi, Dkt. Kigwangala amesema vijana wa sasa hivi wengi wanapenda kuishi maisha ya kwenye mitandao, na kuacha yale yenye uhalisia na kuweza kujishughulisha kujikwamua kiuchumi, huku akiweka wazi malipo pekee sio sababu ya vijana wengi kuchagua kazi.

"Siyo malipo pekee, pia matarjio na matumizi ya vijana, wengi wanataka kuishi maisha ya 'Instagram' na 'Facebook'...badala ya uhalisia, tamaa ya maisha mazuri bila kupiga kazi nalo ni tatizo jingine, kubwa tu!", aliandika Dkt. Kigwangala.

Naibu Waziri Kigwangala aliendelea na mazungumzo hayo na kusema kuwa kwa jinsi hali ilivyo, kuna haja ya kuweka nguvu yenye ukali ili kuweza kutatua hali hiyo, na kushawishi vijana wajitambue kuishi maisha yenye uhalisia.

"Kama mapambano ni makali zaidi sasa tunapaswa tuandae nguvu na mbinu kali za kiwango cha ukali uliopo, siyo kukata tamaa, Na huo ndiyo mwanzo wa tofauti ya waliofanikiwa na wasofanikiwa, kusimama kwenye uhalisia ama kuleta ubishoo kwenye kazi", aliandika Dkt. Kigwangala.

Soma hapa mfululizo wa tweet zake

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine