Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CUF inahitaji maombi - Kumbilamoto

Wednesday , 13th Sep , 2017

Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Omari Kumbilamoto (CUF) amefunguka na kusema kuwa anakisikitikia chama chake kwani kinakatisha tamaa kutokana na mgogoro unaoendelea na kuwaomba waanahabari kutumia weledi na ushawishi wao kumaliza mgogoro huo.

Omari Kumbilamoto

Akizungumza leo asubuhi kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, kinachorushwa na East Africa radio,  Mh.  Kumbilamoto ambaye pia ni Diwani wa kata ya Vingunguti (CUF) amesema kwamba chama cha CUF kilikuwa ni kimbilio la wananchi wanyonge lakini kwa sasa kimekuwa ni cha kilio kuanzia viongozi mpaka wanachama wenye mapenzi ya dhati.

"Cuf inatia huzuni.....Inahitaji maombi ili migogoro iishe....Nawaonea sana huruma viongozi hasa madiwani ambao huu mgogoro unawaumizwa kwa sababu 2020 ni siku chache zijazo na kama hawajafanya kitu hawataweza kuwaambia kwamba hajafanya maendeleo kwa sababu ya mgogoro wa chama na wakamuelewa. Viongozi wa CUF, Wabunge na wengineo wafanye kazi na huu mgogoro usiwaumize wakashindwa kuwatumikia wananchi.

Kumbilamoto ameongeza "Waandishi wa habari na nyie pia mna uwezo wa kufanya haya mambo yaishe kwa kutumia kalamu zenu pamoja na hekima zenu kwa sababu hata vitabu vya dini vimewataja".

Mbali na hayo kiongozi huyo amesema hana mpango wa kuendele kung'ang'ania madarakani endapo pale umri wake wa kuwa kwenye siasa utakuwa umekwenda na kwamba atahitaji mapumziko kwani kiongozi mwenye nia ya kutumikia wananchi huwa haoni utamu wa uongozi.

Msikilize zaid hapa

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine