Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anna Mghwira ahusishwa kesi ya Dc

Wednesday , 23rd Aug , 2017

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mgwira amekiri kupokea malalamiko ya chama cha walimu mkoa wa Kilimanjaro (CWT) kumtaka ahakikishe Mkuu wa wilaya ya Hai, Mh.Gelasius Byakanwa anaomba radhi kwa walimu kwa kitendo cha kumdhalilisha mwalimu mwenzao

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, mama Anna Mghwira

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mama Anna Mghwira amesema taarifa hizo amezipokea na ofisi yake itafanyia kazi suala hilo, kadri walalamikaji walivyohitaji kwa kuwa wana haki ya kulalamikia suala hilo.

“Imefika na wameleta na sisi tumewaambia tutayafanyia kazi yale yanayotuhusu, ilikuwa ni lazima waje kuniona, kuna mapendekezo mengine ambayo yapo ndani ya mamlaka yao, kwa mfano wakisema wenyewe baada ya siku 30 wanataka kufungua kesi, nani atawazuia!? Hata ikiwa ni siku moja, ni haki yao, ni jukumu letu tunajua ilivyotkea, tunafuata taratibu za kawaida za kazi”, alisema Mama Anna Mghwira.

Mkuu wa wilaya ya Hai, Mh.Gelasius Byakanwa alifika shule moja iliyopo ukanda wa chini mwa wilaya ya Hai, na kumtaka mwalimu mmoja apige push up kwa kushindwa kujibu swali alilo uliza, ndipo akamuitia polisi na kumpeleka rumande bila kosa kisheria.

Msikilize hapa chini Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine