Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

ACT Wazalendo wamkaba koo Magufuli kuhusu Katiba

Sunday , 19th Mar , 2017

Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais John Magufuli ashughulikie suala la upatikanaji wa Katiba mpya ya Tanzania ambayo mchakato wake ulikwama tangu mwaka 2014 licha ya kufikia katika hatua ya Katiba Pendekezwa.

Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Msafiri Mtemelwa amesema wao kama chama cha siasa wanamtaka Rais Magufuli  kuendelea na mchakato wa kuwapatia watanzania wanyonge Katiba bora kwa kuanzia pale rasimu ya pili ya Jaji Joseph Sinde Warioba ilipoishia.

"Rais Magufuli aanzie na Rasimu ya Jaji Warioba ambayo ilikuwa inatoa nguvu kwa wananchi kuwawajibisha viongozi wao pale wasipotekeleza wajibu wao kulingana na nafasi walizo nazo". Amesema Mtemelwa.

Mtemelwa ameongeza pia "Wakati nchi yetu ikijiandaa kuwapata wawakilishi wapya katika Bunge la Afrika ya Mashariki, Chama cha ACT Wazalendo, tunamuomba Rais Magufuli na tunamkumbusha umuhimu wa watanzania kuwa na Katiba bora itakayoamua maslahi ya nchi katika mfumo ulio rasmi mbali na matakwa ya mtu mmoja pale atakapokuwa anajisikia kufanya hivyo."

Pia amewaomba wadau mbali ikiwemo viongozi wa dini, na taasisi mbalimbali kuweka mkazo katika suala hilo kwa kuwa Katiba iliyo bora itamnufaisha kila mmoja katika jamii

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine