Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Wastaafu wengine wanawashwa washwa” - Magufuli

Monday , 11th Sep , 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewapongeza wastaafu wa Mahakama kwa kuwa na busara na weledi, huku akionesha kushangazwa na viongozi wengine ambao wanasema sema baada ya kustaafu.

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

Akizungumza mapema leo mara baada ya kumuapisha Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof: Ibrahim Juma, Ikulu jijini Dar es salaam, Rais Magufuli amesema wazee hao wengine ambao wamestaafu hawachoki kusema, huku akiwafananisha na watu wanaowashwa na kitu.

“Waheshimiwa Majaji hawa ni waadilifu sana, huwezi ukamsikia jaji Chande anazungumza chochote, huwezi ukamsikia Jaji mstaafu Samatta anazungumza chochote, hawa majaji walioko hapa ukiangalia na wastaafu wengine wa maeneo mengine, hawachoki kusema, wana washwa washwa", amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli ameendelea kwa kusema "ndiyo maana mimi nawapongeza sana mahakama ni safi mno, nina hakika wao wakitaka kutoa ushauri wowote ule lazima watakuwa wanaku-consult na wanakueleza, ndiyo faida ya kujua sheria”, amesema Rais Magufuli.

Rais Magufuli leo amemuapisha Prof. Ibrahim Juma kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kumteua jana kushika wadhifa huo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine