Millbethy Anthony kifupi niite Milly toka Shy town. Halla 5 kwa bibi zangu wanaopatikana Iringa town, mama na baba wapo shy town na watazamaji woye wa EATV. Ujumbe: Bora uchukiwe kwa jinsi ulivyo kuliko kupendwa kwa namna usivyo..!!
Victor Nyangalima na kushoto ni Jackson Malila
Tokea Njombe, Wabishi Camp kulia ni Victor Nyangalima na kushoto ni Jackson Malila, Halla 5 kwa wanetu wa boda boda vituo nyote vya Njombe Mjini.
Holla 5
Helloooo 5, Pande za Kgm town! dah noma xana!!!, Bt u knw wht don't judge cos u don't know why!!! Take care.
Hussein Rashid
Naitwa Hussein Rashid a.k.a Bad Classic wa Moshi Kaloleni, nawapa holla fire boy, mama angu Amina, Baba angu Rashid, Mama Abra, Blak Water, Vicent Sir V pamoja na wana wooote, natazama enewz hooooooollaaaaaaaaaa five.