MO Salah apigwe benchi-Jamie Carragher

Beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amesema kuwa, Mohamed Salah hapaswi kuanza katika kikosi cha kwanza, zaidi anapaswa kukaa benchi kama mchezaji wa akiba kutokana na kiwango chake duni anachokionesha kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS