Gombo kugawa ardhi upya
Mgombea Urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Gombo Samandito Gombo amesema atakapopata ridhaa ya kuwa Rais atafanya utaratibu wa kugawa ardhi ya Tanzania upya kwa wanaohitaji kwasababu ardhi ya Tanzania ni mali ya umma na kwamba sio mali ya watu wa

