Wafungwa/mahabusu kutumia vifaa vya TEHAMA Akikabidhi vifaa hivyo jana, Oktoba 20, 2025 Mkuu wa mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amesema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa kupunguza muda na gharama za uendeshaji wa kesi. Read more about Wafungwa/mahabusu kutumia vifaa vya TEHAMA