Nandy akataa Kumshauri Zuchu

Pichani Nandy na Zuchu

The African Princess Nandy amefunguka kuwa linapokuja suala la Mapenzi/Mahusiano hawezi kumshauri kitu chochote msanii mwenzie Zuchu ,mbali na hilo pia bado ameendelea kukazia suala la pete yake kupotea huku akisema kuwa atakaye ipata atapewa zawadi ya milioni kumi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS