Vijana Nepal waandamana kisa mitandao kufungwa Maelfu ya vijana wa Nepal wamemiminika barabarani katika mji mkuu, Kathmandu, wakitaka serikali kuondoa marufuku iliyowekwa kwa mitandao ya kijamii na kukomesha ufisadi unaozidi kuenea nchini humo. Read more about Vijana Nepal waandamana kisa mitandao kufungwa