Diamond Kujituma Zaidi

Msanii wa muziki Diamond Platinumz, amewahakikishia mashabiki wa muziki wake mabadiliko na maendeleo makubwa katika maonyesho yake kwa mwaka 2014 kwa lengo la kuendelea kubaki kileleni na kuzidi kuwavutia mashabiki wake kila siku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS