Dayna afichua siri ya Cindy
Dayna Nyange, Msanii wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ya Mimi na Wewe, baada ya kumaliza ziara yake ya kimuziki huko Kanda ya Ziwa, tayari amerejea jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuendeleza harakati nyingine za maisha na kimuziki.