D'Banj, Kenya katika biashara ya penzi

Mrembo aliyewahi kubeba taji la Miss USA pamoja na staa wa kipindi cha televisheni Kenya Moore ameripotiwa kuingia mkataba na D Banj kuwa kama wapenzi kwaajili ya muendelezo wa kipindi chake cha uhalisia cha Televisheni huko nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS