Alicious Afurahia amani DRC

Mwanadada Alicious Theluji, msanii kutoka Dr Congo ambaye makazi yake kwa sasa ni huko Nairobi nchini Kenya, amesema amefurahishwa kidogo kuona kuwa amani inarejea huko Mashariki mwa Congo ambapo alikuwepo kwa siku kadhaa hivi karibuni kwa ajili ya kushiriki katika tamasha la Amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS