Nonini aongeza wigo wa Misaada

Rapa Nonini kutoka nchini Kenya, ambaye kwa muda sasa amekuwa akijishughulisha katika kuwasaidia kwa namna mbali mbali watu wenye ulemavu wa ngozi, sasa ameamua kutanua zaidi wigo wa msaada wake ambapo amefanikiwa kufika huko Wajir na kutoa misaada mbalimbali kwa watu wenye albinism.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS