Japhet Kaseba atamba kumnyamazisha Thomas Mashali

Kuelekea pambano lake dhidi ya Thomas mashali kuwania ubingwa wa mabara unaotambuliwa na Universal Boxing utakaofanyika MACHI 29 mwaka huu, bondia Japhet Kasema asema anajiandaa kukata mdomo wa mpinzani wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS