Juliana na Kansiime wapongezwa

Juliana Kanyomozi pamoja na mchekeshaji Anne Kansiime wa nchini Uganda wamepongezwa kwa jitihada zao za kufanya kazi kwa bidii na pia kutumia sanaa zao katika kusogeza mbele shughuli mbalimbali za maendeleo ya sanaa na nchi kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS