Kartel asota rumande
Msanii wa miondoko ya Dancehall wa nchini Jamaica, Vybz Kartel ambaye amekuwa kizuizini kwa muda sasa kwa mashtaka ya mauaji ya Clive Williams 'Lizard' mwaka 2011, amepatikana na hatia katika kosa hilo baada ya siku 65 za kusikilizwa kwa kesi hiyo.