Nyanda: Sijamtenga Naila
Baada ya msanii wa kike wa Jamaica Nyanda kuanza kushika chati na kuwa gumzo kupitia majarida na vituo mbalimbali vya muziki, msanii huyo anayefanya muziki wake akiwa sasa solo ameweka wazi kuwa haimaanishi kwamba amemtema dada yake Naila.