Wasanii wamjulia hali Noorah

Timu ya Viongozi wa Shirikisho la Wasanii Tanzania, leo hii wameenda kumuona msanii wa muziki Noorah a.k.a. Baba Stylz ambaye kwa sasa anaugua maradhi ya tumbo ambayo yamesababisha kulazwa hospitali kwa muda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS