Black Sensation
Tamasha kubwa la wanamuziki kutoka Afrika ya Kusini, Liguideep na Mi-casa ambao waliletwa nchini na na kampuni ya Black Sensation wakishirikiana na Juega casa, lilifanyika katika viwanja vya Sea Cliff Hotel , Novemba 2013.
Tamasha hili kubwa liliacha historia ya aina ndani ya mwaka 2013, lilidhaminiwa na redio kali inayopendwa na wengi hapa Tanzania, East Africa Radio.