Black Sensation

Tamasha kubwa la wanamuziki kutoka Afrika ya Kusini, Liguideep na Mi-casa ambao waliletwa nchini na na kampuni ya Black Sensation wakishirikiana na Juega casa, lilifanyika katika viwanja vya Sea Cliff Hotel , Novemba 2013.

Tamasha hili kubwa liliacha historia ya aina ndani ya mwaka 2013, lilidhaminiwa na redio kali inayopendwa na wengi hapa Tanzania, East Africa Radio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS