Klabu bingwa ya Netball EA yaendelea

Michuano ya klabu bingwa ya netball kwa vilabu vya nchi za Afrika Mashariki na kati iliyoanza hapo jana imeendelea kushika kasi hii leo kwa michezo mbalimbali kucheza katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ikihusisha timu za wanaume na wanawake

Mmoja wa makocha Ramadhan Zimbwe anayekinoa kikosi cha timu ya wanaume ya Polisi ya Zanzibar amesema mashindano ya safari hii yatakua magumu mno kutokana na timu nyingi kuonyesha ushindani mkubwa hali inayotokana na timu nyingi kufanya maandalizi mazuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS