Ditto awapa somo Wasanii

Msanii wa muziki Lameck Ditto, ametoa ushauri wa bure kwa wasanii wenzake kujaribu kuangalia namna ambavyo wanaweza kutumia vipato wanavyotengeneza katika muziki, kuwekeza katika miradi na shughuli mbalimbali, na kuacha kuendekeza starehe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS