WEUSI wafanya makubwa Nai
Kundi la WEUSI rapa Joh Makini, G Nako pamoja na Nikki Wa Pili ambao wamekuwa huko Nairobi nchini Kenya kwa siku kadhaa sasa, wameweza kufanya mchongo wa kutengeneza video ya ngoma yao ya Gere ambayo inafanya vizuri katika vituo mbalimbali kwa sasa.