Mabeste: 'Headache' ni hadithi ya kweli
Mabeste, Msanii mkali wa muziki hapa Bongo, akiwa na mzigo mpya, ngoma inayokwenda kwa jina Headache, amesema kuwa, kazi hii ni kisa cha kweli ambacho kimamhusum mtu wake wa karibu ambaye hakuwa tayari kumtaja jina lake.