Wanaobeza mafanikio ya elimu wapuuzwe - Serikali

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dkt Shukuru Kawambwa

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania, imewataka watanzania kuwapuuza wanaobeza mafanikio yanayoonekana katika sekta ya elimu hivi sasa ikiwa ni pamoja na matokeo ya kidato cha nne kwa wanafunzi waliofanya mtihani huo mwaka jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS