Wizara yatoa maagizo kuhusu walimu wapya

Naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi nchini Tanzania Bi. Jenister Mhagama

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Tanzania imewataka maofisa wa elimu wa mikoa na wilaya kuwapoka na kuwaelekeza walimu wapya wanaoripoti katika vituo vyao vya kazi, hali itakayosaidia waalimu hao kudumu katika shule wanazopangiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS