Mwadui yapinga Kupanda kwa Stand Utd.

Kocha wa timu ya Mwadui Jamhuri Kihwelu

Siku chache baada ya timu ya Stand United ya Shinyanga kutangazwa kupanda daraja kucheza ligi kuu ya soka ya Tanzania bara msimu ujao, Kocha wa klabu ya Mwadui, Jamhuri kihwelu "Julio" amekata rufaa kupinga kupanda kwa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS