Milipuko: Polisi yatangaza donge la Milion 10.

Kamishna wa makosa ya jinai Tanzania Isaya Mngulu

Jeshi  la  polisi  nchini  limetoa  donge  nono  la  shilingi  milioni  kumi  kwa  mwananchi  yeyote  atakayefichua  mtandao  wa  watu  wanaotengeneza  na  kulipua  mabomu  katika  mikusanyiko mbalimbali ya  wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS