Mabomu saba yakamatwa Arusha Mkuu wa jeshi la polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu. Jeshi la polisi jijini Arusha limekamata mabomu saba, risasi na bunduki aina ya shortgun katika operesheni dhidi ya matukio ya mabomu jijini humo. Read more about Mabomu saba yakamatwa Arusha