Mchakato wa Katiba usitishwe - JUKATA

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba nchini Tanzania, Deus Kibamba.

Jukwaa la Katiba nchini Tanzania (JUKATA) limeitaka serikali kusitisha mchakato unaoendelea wa kutafuta katiba mpya kwa madai ya kuwepo kwa joto kali la kisiasa kiasi cha kufanya mchakato huo uonekane dhahiri kwamba umekwama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS