Sugu ashinda kesi ya malezi ya mwanae Sugu na mwanae Sasha Korti ya Manzese imeamuru mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu akabidhiwe mtoto wao Sasha Desderia kumlea, kufuatia kesi aliyofungua dhidi ya mke wake wa zamani Faiza Ally. Read more about Sugu ashinda kesi ya malezi ya mwanae