Dance100% sasa ni Don Bosco Upanga

shindano kubwa la kucheza la Dance100%2015 jijini Dar es Salaam

Usahili wa pili wa mashindano haya makubwa kabisaya Dance 100% 2015 utafanyika katika viwanja vya Don Bosco Upanga Jumamosi tarehe 01 Agosti mwaka huu, ambapo makundi mengine matano yatasakwa kuingia katika michuano hiyo kwa mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS