Serikali imesema imejiandaa matumizi mabaya

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiongea na viongozi wa Wakala ya Serikali Mtandao na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.

Serikali imesema imejianda kikamilifu kukabiliana na matumizi yote mabaya ya mitandao hasa katika mitandao ya kijamii katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika oktoba 25 ili kuepuka Uchochezi ,vurugu na kuhatarisha Amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS