Wagombea kuanza kuchukua fomu NEC kuanzia kesho
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwa zoezi la kuchukuwa fomu za wagombe wa urais, ubunge na udiwani walioteuliwa kuwania nafasi hizo mbalimbali na vyama vyao vya siasa litaaanza kesho na kukamilika Agosti 21, mwaka huu.