Mwashiuya aiadhibu timu yake ya zamani Kemondo Fc Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beki wa KMKM, Kassim Abdulkadir Winga Godfrey Mwashiuya ameiadhibu timu yake ya zamani, Kemondo kwa kuifunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1 hapo jana Uwanja wa CCM Mbozi, Mbeya. Read more about Mwashiuya aiadhibu timu yake ya zamani Kemondo Fc