UKIMWI tishio kwa watoto wa Kike Mbeya

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho

Maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana wa kike wenye umri wa kati ya miaka 15 na 39 mkoani mbeya yameongezeka kwa zaidi ya mara tatu ikilinganishwa na vijana wa kiume wenye umri kama huo katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS