Mona Gangster aikosoa serikali
Mtayarishaji muziki Mona Gangster kutoka studio ya Classic Sound, amesema kuwa sasa ni wakati ambapo serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka na rahisi kurekebisha mfumo wa sasa katika soko la muziki unaotoa mwanya kwa wanyonyaji kufaidika.