Watanzania watakiwa kufuata misingi ya Mwl.Nyerere

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Misa maalum ya kumwombea baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyefariki dunia Oktoba 14 mwaka 1999 imefanyika leo mkoani Dodoma ambapo katika ibada hiyo watanzania wamehimizwa kushiriki katika uchaguzi mkuu kwa amani na utulivu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS