Sekta ya utalii kunufaika na uwezekezaji Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Uwekezaji nchini(TIC), Juliet Kairuki

Tanzania inatarajia kupata miradi ya uwekezaji itakayoliingizia taifa zaidi ya Dola za Marekani milioni 1000 katika sekta za utalii na uhifadhi nchini ikiwa ni awamu ya pili ya mkakati wa uwekezaji nchini katika Sekta hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS