Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA

Kamishna wa polisi wa Kanda Maalum ya Dar Es Salaam Suleiman Kova

Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano yasiyo na kikomo yalipangwa kufanywa leo na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwa madai ya kuporwa ushindi wa kiti cha Urais kwa Mgombea wao Edward Lowassa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS