'Maisha ni Siasa" kuwagusa wa TZ
Tukiwa tunaelekea kwenye kilele za kampeni za uchaguzi mkuu wa urais, udiwani na ubunge mnamo tarehe 25 mwezi huu October, tayari filamu mpya iliyobatizwa jina 'Maisha ni siasa' inatarajiwa kuzinduliwa rasmi wiki hii jijini Dar es Salaam.