Vyuo 16 Afrika vyakutana kupanga njia ya kujiajiri

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa kwanza wa Umoja wa wa vyuo vikuu vya Afrika.

Vyuo vikuu 16 vya nchi za Afrika, vimekutana jana Jijini Arusha, kupanga mikakati jinsi ya kuwasaidia vijana wanaohitimu katika vyuo hivyo, waweze kujiajiri katika ujasiliamali, badala ya kusubiri ajira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS