Tutatumia Mapato kwa Maslahi ya Nchi-Majaliwa

WazIri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS