Tutatumia Mapato kwa Maslahi ya Nchi-Majaliwa
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha kila kinachokusanywa kama mapato ya nchi kinatumika kwa maslahi ya watanzania wote na si kwa manufaa ya wachache.

.jpg?itok=EvHxbOPG)